Nonini

Nonini - Manzi Wa Nairobi lyrics

rate me

Machali leo hamtala, machali leo hamtala<br />

Ka we ni manzi wa Nairobi amka uwanza kukatika<br />

Machali leo hamtalala<br />

Ka we ni manzi wa Nairobi amka uwanze kukatika<br />

Ka ka we ni manzi wa Nairobi amka uwanze kukatika<br />

Piga nduru,piga nduru,piga nduru usikike huku kwetu African<br />

Zima nchi zote lazima kelele itafika<br />

Dunia nzima hakuna manzi ka wa Nairobi<br />

Ameng'ra nguo safi kidhani jana amezitoa tope<br />

Kila siku namuona taoo akitembea na maringo<br />

Hata ukimpita lazima utapindua hiyo shingo<br />

Kwa akili nafikiria atafunguaje hizo vifungo<br />

Hiyo jeans imemkaza itamkazia kufika huko<br />

Watu wameshindwa kusema jina yangu Nonini<br />

Sababu nimeona mwingine amenga'ra li nini na nini<br />

Checky vile anatetemeka ni kama nimekunywa chang'aa<br />

Juwa zile vitu nimeona jana jo utashangaa<br />

Jua kali nakwambia utabidi tumeanza kuchangaa<br />

Kama huna bima we ndio utaanza kutanga tanga<br />

Checky yule kakakakakakaka<br />

Checky yule kikakakakaka<br />

Ningekuwa judge misingevaa nisivyo kawaida<br />

Manzi wote wa Nairobi wangeshinda bila shidaaaa<br />

<br />

[Chorus]<br />

<br />

Hamunioni Nairobi tena nikienda kucheki movie<br />

Ya manzi mpoa haja vaa any ndani ya jaquzi<br />

Hata ka ni Julia Roberts<br />

Nataka wa Nairobi yule anaoganga na hiyo hiyo roberts<br />

Msafi resize yake ameshisha kiplani<br />

Msauni muatherere anaweza kumalizia ganji<br />

Hakuona kwa kichwa yake ameketisha sisasini<br />

Na kaa kawaida kwa mfuko anaingiza profit ya hamsini<br />

<br />

Mchukuwe manzi yoyote yule humjui<br />

Kama hutaki kosana sana na wale wako Kitui<br />

Lakini watu husema wanataki ya hiyo mi sijui<br />

Kuwa ready kupelekwa mbio ama utawika u-u-uwii<br />

Na naongea from experience niliacha moja juzi<br />

Mluhya kumunduyo manzi ameshona bana<br />

Hizo miguu zake amezitumia sana<br />

Wacha ikae ka ni huyo mi nawika hapana<br />

<br />

(Mjaluo)<br />

<br />

Saa umeongea, huyo ndio mambo yote<br />

Nyuma ukimchecki mazee ambebe zote<br />

Nikisimama na yeye, tunatoshana<br />

Tukipoa down ni mrefu, tena sana<br />

Nashindwa nikimpata hizo mizigo nitaezana<br />

Usiniulize mzigo gani, wajua wacha kujifanyaaa<br />

aa-aa-aa-aaaaaaaaa Nonini<br />

<br />

[Chorus]<br />

<br />

Si-ta-choka na kuwapatia manzi wa Nairobi sifa<br />

Hii ngoma inaeza enda one hour kabla haijaisha<br />

Kuna manzi mpoa ni ugonjwa huaga ameshikishwa<br />

Mabeste wanaambia Nonini huwa umerogwa<br />

Nimerogwa na ninazidi kuroga juu ya vile wananiroga<br />

Au vipi jua kali (mmh mmh)<br />

Nakwambia ukweli mi si muongo wala muoga<br />

Ukilala wasikia sauti yangu na kwambia songa<br />

Ukikaa niko kando yako bado ukibuy mboga<br />

Kwa bafu kwa bafu kwa bafu<br />

Niko nyuma yako na kusugua mgongo tukiogaaa<br />

<br />

Machali leo hamtalala<br />

Ka we ni manzi wa Nairobi amka uwanze kukatika<br />

Ka we ni manzi wa Nairobi amka uwanze kukatika<br />

<br />

Machali leo hamtalala<br />

Machali leo hamtalala<br />

<br />

Carlif records<br />

Aaaii, wewe hii track ni kali<br />

Aaaii, aaaii,wewe hii track ni kali, aaaii...

Get this song at:  amazon.com  sheetmusicplus.com

Share your thoughts

0 Comments found