E-SIR

E-SIR - I Love My Saree Only lyrics

rate me

nina mabeshte ndani ya gari (si usaree)

manzi kitu lazima ahanywe (si usaree)

na gomba leo lazima kanase (si usaree)

kachongwe (si usaree)

kabambe (si usaree)

na ikishabamba lazima katemwe (si usaree)

kisha lale lazima apakatwe (si usaree)

kitandani nyumbani atambae (si usaree)

apandwe (si usaree)

ahanywe (si usaree)

Verse 1

mi na ndugu zang'

ndani ya gari yang'

mamanzi hamsini

tutafika lini

guaranteed leo tunawaingia kusini

chini kwa chini

juu kwa juu

side to side till I see what's inside

girl it's no lie

the way you shake your behind

I'm about to lose my mind

pick up the remote and rewind

to my car please jump inside

call my friends I'll show you where we can hide

in the midst of the Pirates

you can have anything you want (saree)

you got it from the back to the front (saree)

Chorus

nina mabeshte ndani ya gari (si usaree)

manzi kitu lazima ahanywe (si usaree)

na gomba leo lazima kanase (si usaree)

kachongwe (si usaree)

kabambe (si usaree)

na ikishabamba lazima katemwe (si usaree)

kisha lale lazima apakatwe (si usaree)

kitandani nyumbani atambae (si usaree)

apandwe (si usaree)

ahanywe (si usaree)

Verse 2

kijana ameangusha tracks kadhaa za kuwasaidia ku-party

ni nani

hajui rap bila E-Sir ni kama sigara bila nare basi

nifungulie njia nipate kutiririka kama beer ya Pilsner nipe futi sita nipate kuwaburudisha

hi ni ya

kila mdhii amekuwa akingojea flow ya Kiswahili kila mnati tayari kuamka na ku-bounce kidhati kuingia floor katikati kugonga wadhii bila kuwaambia samahani ala

waleta balaa

I thought you're my guy kumbe you're just another fala

vipi rafiki stahili lakini

beste ninaotembea nao wamechizi

wala samaki na ndizi baada ya tizi

nipe wakati kidogo na utawaona kwa TV

internet sites all over the PC

wakiheng na mamanzi

ijapokuwa wanati wame-dress ka mabarbie

vinywaji ni barley

si usaree

Chorus

nina mabeshte ndani ya gari (si usaree)

manzi kitu lazima ahanywe (si usaree)

na gomba leo lazima kanase (si usaree)

kachongwe (si usaree)

kabambe (si usaree)

na ikishabamba lazima katemwe (si usaree)

kisha lale lazima apakatwe (si usaree)

kitandani nyumbani atambae (si usaree)

apandwe (si usaree)

ahanywe (si usaree)

Verse 3

ili ngoma yangu isibambe

nakuomba lyrics zangu usichanganye

na kuomba ile mic usinipe

unless unataka crowd iwike (si usaree)

shika dada karibu na wewe

chini kwa chini bila wasiwasi

usimwachilie mpaka ikate

nitahakikisha anawika

ili ngoma yangu isibambe

nakuomba lyrics zangu usichanganye

na kuomba ile mic usinipe

unless unataka crowd iwike (si usaree)

shika dada karibu na wewe

chini kwa chini bila wasiwasi

usimwachilie mpaka ikate

nitahakikisha anawika

Chorus

nina mabeshte ndani ya gari (si usaree)

manzi kitu lazima ahanywe (si usaree)

na gomba leo lazima kanase (si usaree)

kachongwe (si usaree)

kabambe (si usaree)

na ikishabamba lazima katemwe (si usaree)

kisha lale lazima apakatwe (si usaree)

kitandani nyumbani atambae (si usaree)

apandwe (si usaree)

ahanywe (si usaree)

Get this song at:  amazon.com  sheetmusicplus.com

Share your thoughts

0 Comments found